Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 93-94
  • Uadilifu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Uadilifu
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 93-94

Uadilifu

Ni nani pekee ana mamlaka ya kuamua jambo lililo sawa au la haki?

Kum 32:4; Eze 33:​17-20

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 18:​23-33—Yehova anamwonyesha Abrahamu kwamba Yeye ni Mwamuzi mwadilifu

    • Zb 72:​1-4, 12-14—Zaburi hii iliyoongozwa na roho inamsifu Mfalme wa Kimasihi, ambaye anaiga kikamilifu uadilifu wa Yehova

Tunanufaikaje kwa kuishi kulingana na viwango vya Yehova vya uadilifu?

Zb 37:​25, 29; Yak 5:16; 1Pe 3:12

Tazama pia Zb 35:24; Isa 26:9; Ro 1:17

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Ayu 37:​22-24—Elihu anausifu uadilifu wa Yehova, ambaye ukuu wake unafanya watu wake wamheshimu sana

    • Zb 89:​13-17—Mtunga zaburi anamsifu Yehova kwa sababu sikuzote anatawala kwa uadilifu

Inamaanisha nini kutafuta uadilifu wa Mungu?

Eze 18:​25-31; Mt 6:33; Ro 12:​1, 2; Efe 4:​23, 24

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 6:​9, 22; 7:1—Noa anathibitika kuwa mwadilifu kwa kufanya kwa uangalifu mambo yote ambayo Yehova anamwagiza afanye

    • Ro 4:​1-3, 9—Yehova anamwona Abrahamu kuwa mwadilifu kwa sababu anaonyesha imani ya pekee katika Yehova

Kwa nini ni lazima uadilifu wetu utegemee upendo wetu kwa Yehova badala ya tamaa ya kujionyesha kuwa waadilifu machoni pa wanadamu?

Mt 6:1; 23:​27, 28; Lu 16:​14, 15; Ro 10:10

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mt 5:20; 15:​7-9—Yesu anawaambia watu wawe waadilifu, lakini si kwa kutegemea viwango vilivyowekwa na waandishi na Mafarisayo ambao ni wanafiki

    • Lu 18:​9-14—Yesu anatoa mfano ili kuwarekebisha wale wanaojiona kuwa waadilifu zaidi na kuwadharau wengine

Kwa nini sifa ya wema ni bora zaidi kuliko sifa ya uadilifu?

Ro 5:​7, 8

Tazama pia Lu 6:​33-36; Mdo 14:​16, 17; Ro 12:​20, 21; 1Th 5:15

Kwa nini tunapaswa kuepuka kuwa waadilifu kupita kiasi na kujaribu kuthibitisha kwamba sisi ni waadilifu kuliko wengine?

Mhu 7:16; Isa 65:5; Ro 10:3; 14:10

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki