Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 43-44
  • Kusuluhisha Hali ya Kutoelewana

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kusuluhisha Hali ya Kutoelewana
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 43-44

Kusuluhisha Hali ya Kutoelewana

Mtu anapotukosea, kwa nini tunapaswa kuepuka kukasirika au kulipiza kisasi?

Met 20:22; 24:29; Ro 12:​17, 18; Yak 1:​19, 20; 1Pe 3:​8, 9

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 1Sa 25:​9-13, 23-35—Nabali anapomtukana Daudi na wanaume wake na kukataa kuwasaidia, Daudi anafanya maamuzi ya haraka-haraka ya kutaka kumuua Nabali na wanaume katika nyumba yake, lakini ushauri wenye hekima wa Abigaili unamsaidia Daudi kuepuka hatia ya damu

    • Met 24:​17-20—Akiongozwa na roho, Mfalme Sulemani anawaonya watu wa Mungu kwamba kushangilia maadui wetu wanapoteseka ni jambo lisilomfurahisha Yehova; tunaacha kazi ya kuhukumu mikononi mwa Yehova

Ikiwa Mkristo amekosana na mtu, je, anapaswa kuepuka kuzungumza naye au kumwekea kinyongo?

Law 19:​17, 18; 1Ko 13:​4, 5; Efe 4:26

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Mt 5:​23, 24—Yesu anaeleza kwamba tunapaswa kujitahidi sana kufanya amani pamoja na ndugu ambaye ana jambo fulani dhidi yetu

Tunapaswa kuchukua hatua gani yenye upendo tunapokosewa?

Met 10:12; 19:11; Efe 4:32; Kol 3:13

Kwa nini tunapaswa kuwasamehe hata wale ambao wametutendea dhambi tena na tena ikiwa wanatubu kutoka moyoni?

Mt 18:​21, 22; Mk 11:25; Lu 17:​3, 4; Kol 3:13; 1Pe 4:8

Ikiwa kosa ni zito sana hivi kwamba hatuwezi kuliachilia—kwa mfano, katika visa vya uchongezi au ulaghai—ni nani anayepaswa kuzungumza na mkosaji, na akiwa na lengo gani?

Mt 18:15

Tazama pia Yak 5:20

Tunapaswa kufanya nini ikiwa mtu ambaye ametulaghai au kutuchongea anakataa kutubu tunapozungumza naye tukiwa wawili?

Mt 18:​16, 17

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki