Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 20-21
  • Hekima

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Hekima
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 20-21

Hekima

Tunahitaji kuwa na mtazamo gani ili tupate hekima ya kweli?

Met 9:10; 15:33

Tunaweza kupata wapi hekima ya kweli?

Met 2:6; Mhu 2:26; Yer 8:9; 2Ti 3:15

Je, ni jambo linalofaa kumwomba Mungu atupatie hekima?

Kol 1:9; Yak 1:5

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 2Nya 1:​8-12—Mfalme kijana Sulemani anasali ili apate hekima itakayomsaidia kutawala Israeli kwa njia inayofaa, na Yehova anafurahi kumpatia jambo aliloomba

    • Met 2:​1-5—Hekima, uelewaji, na utambuzi zinahusianishwa na hazina zilizofichika ambazo tunanufaika tunapozitafuta, na Yehova huwathawabisha wale wanaozitafuta sifa hizo kwa bidii

Yehova anatupatia hekima kupitia nani na kwa msaada wa nini?

Isa 11:2; 1Ko 1:​24, 30; 2:13; Efe 1:17; Kol 2:​2, 3

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Met 8:​1-3, 22-31—Hekima ya Mungu inafafanuliwa kuwa mtu, na ufafanuzi huo unamfaa Yesu ambaye aliumbwa na Yehova kabla ya vitu vingine vyote

    • Mt 13:​51-54—Watu wengi wanaomsikiliza Yesu hawaelewi jinsi mwanamume ambaye amelelewa miongoni mwao anaweza kuwa na hekima nyingi hivyo

Ni sifa gani zinazoonyesha kwamba tuna hekima ya Mungu?

Zb 111:10; Mhu 8:1; Yak 3:​13-17

Tazama pia Zb 107:43; Met 1:​1-5

Hekima inatupatia mwongozo na ulinzi gani maishani?

Met 2:​10-13; 3:​21-23; 4:​5-7

Tazama pia Met 7:​2-5; Mhu 7:12

Hekima ya Mungu ina thamani nyingi kadiri gani?

Met 3:​13, 14; 8:11

Tazama pia Ayu 28:18

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Ayu 28:​12, 15-19—Ingawa anateseka sana kwa sababu ya huzuni, maumivu, na kupoteza mali zake, Ayubu anaeleza jinsi anavyothamini sana hekima ya Mungu

    • Zb 19:​7-9—Mfalme Daudi anasema kwamba sheria na vikumbusho vya Yehova vinaweza kuwapatia hekima hata wale wasio na uzoefu

Hekima ya ulimwengu, inayompuuza Mungu, inaweza kutudhuru kwa njia gani?

1Ko 1:​19, 20; 3:19; Kol 2:8; 1Ti 6:20

Tazama pia Mhu 12:​11, 12; Ro 1:​22, 23

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki