Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
Kuyachunguza Maandiko Kila Siku—2025
Andiko la Mwaka “Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili.”—Zaburi 96:8.
Kijitabu hiki hakiuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari.
Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
Chapa ya Juni 2024
Swahili (es25-SW)
© 2024
WATCH TOWER BIBLE AND TRACT SOCIETY OF PENNSYLVANIA