HALMASHAURI YA UTUMISHI YA KUTANIKO
1919: jv 212
1932: w06 2/15 28; w06 5/15 24; w02 7/1 16; ip-2 317; jv 214, 638-639
majukumu: od 42-43
kuandika barua ya mapendekezo kwa niaba ya wale wanaotaka kutumika katika eneo lenye uhitaji mkubwa: od 111-112; km 11/97 1
kuchagua siku moja kila mwezi kwa ajili ya kuanzisha mafunzo ya Biblia: km 12/08 1
kufanya uamuzi kuhusu wahubiri wanaostahili kutoa ripoti ya dakika 15: od 87; km 10/02 8
kuhakikisha kama kuna uhitaji wa kujaza fomu ya Ombi la Mahali pa Kulala kwa Wenye Mahitaji ya Pekee: km 12/07 4; km 12/06 4; km 12/05 4; km 12/03 3
kuidhinisha funzo pamoja na wasiotenda: od 85-86; km 2/01 4; km 11/98 6
kuidhinisha maombi ya haraka ya vitabu: km 7/03 4
kuidhinisha matumizi ya Jumba la Ufalme kwa ajili ya arusi na hotuba za maziko: km 11/08 3; w06 10/15 20; od 42, 122
kumjulisha mwangalizi wa Funzo la Kitabu la Kutaniko kumhusu mhubiri ambaye amehamia kutanikoni majuzi: km 10/99 7
kushughulikia maombi ya pekee ya kutuma magazeti kwa njia ya posta: km 7/04 3
kushughulikia maombi ya utumishi wa painia: od 42, 113; km 8/98 7
kutuma Badiliko la Anwani ya Mratibu wa Baraza la Wazee/Mwandishi (S-29): km 4/08 5
kuwapangia wahubiri mafunzo ya kitabu watakayohudhuria: od 42
ndugu mmoja wa Halmashauri ya Utumishi anapaswa kushiriki kuamua kama mtu anastahili kuwa mhubiri ambaye hajabatizwa: od 79, 82