SANDUKU LA SWALI
arusi katika Jumba la Ufalme: km 11/08 3
eneo:
ramani katika Jumba la Ufalme: km 8/00 2
funzo la Biblia:
vikundi vinavyokutana ili kufanya utafiti au kujadiliana: km 9/07 3
Funzo la Kitabu la Kutaniko:
inapofaa kuanzisha kikundi kingine: km 4/01 7
hospitali zinazosimamiwa na mashirika ya dini: km 4/08 4
huduma ya shambani:
barua: km 12/02 4; km 11/96 3
kuhubiri pamoja na mtu wa jinsia tofauti: km 5/97 2; km 9/97 3
kutoa ripoti: km 1/97 3
ndugu wanapoamuriwa waache kuhubiri: km 10/09 3
wahubiri ambao hawajashiriki katika huduma kwa muda mrefu: km 11/00 3
watoto: km 5/99 7
Intaneti:
hatari za kuwasiliana na wageni: km 7/07 3
ni nani anayepaswa kutuma ombi la kutembelewa na Shahidi?: km 11/11 2
je, nembo za mashirika ya kisheria ya Mashahidi zinaweza kutumiwa na makutaniko au mtu mmojammoja?: km 4/09 3
Jumba la Ufalme:
arusi: km 11/08 3
kusafisha Jumba la Ufalme: km 11/99 6
ramani ya eneo: km 8/00 2
kupiga makofi:
baada ya sehemu katika Shule ya Huduma na Mkutano wa Utumishi: km 5/08 3
kurudishwa kwa mtu aliyetengwa: km 2/00 7
kusambaza rekodi au maandishi ya mtu binafsi ya hotuba mbalimbali: km 4/10 2-3
kutaniko:
kuamua ni kutaniko gani linalofaa kujiunga nalo: km 11/02 7
kuchangisha pesa kwa kupanga mauzo ya bidhaa au sherehe fulani: km 12/06 7
kushughulikia mambo mbalimbali kutanikoni: km 11/04 3
kutembelea Betheli:
mavazi na mapambo: km 3/08 3; km 6/02 2; km 3/98 7
kutembelea majengo yanayotumiwa kwa ajili ya utumishi wa Yehova: km 3/08 3
kutiwa damu mishipani:
kuwa tayari hali ya dharura ikitokea: km 9/99 7
kutoa mchango kwa ajili ya usafiri: km 7/96 3
mafunzo ya Biblia:
funzo la familia: km 9/08 3; km 11/03 3
funzo pamoja na wahubiri wasiotenda: km 11/98 6
kama inafaa kutoa sala kwenye funzo la Biblia linaloongozwa mlangoni?: km 9/11 3; km 4/06 5
kitabu Ujuzi: km 10/96 11
muda ambao funzo linapaswa kuendelea: km 4/11 2; km 5/96 3; km 10/96 11
vitabu ambavyo wanafunzi wanaofanya maendeleo wanapaswa kujifunza: km 1/08 7; km 7/99 2
mafunzo ya Biblia mlangoni:
kufunika kichwa wakati wa kuongoza: km 4/06 5
magereza:
mambo ya kuzingatiwa wakati wa kuwahubiria wafungwa: km 4/03 5
wafungwa wanavyoweza kupata magazeti: km 7/04 3
majukumu ya wakaribishaji: km 5/00 7
makao ya kuwatunzia wazee na wagonjwa yanayosimamiwa na mashirika ya dini: km 4/08 4
makusanyiko ya wilaya na ya kimataifa:
wanaostahili kupata beji: km 4/00 7
mambo ya kufuatwa (hati ya kisheria):
kutoa mali ili zimilikiwe na tengenezo la Yehova: km 6/12 6
mapainia:
njia za kuwasaidia: km 11/10 4
mavazi na mapambo:
wakati wa kutembelea majengo yanayotumiwa kwa ajili ya utumishi wa Yehova: km 3/08 3; km 6/02 2; km 3/98 7
mazishi: km 5/02 7; km 3/97 7
michango kwa ajili ya kazi ya ulimwenguni pote:
je, ni lazima mhubiri atoe mchango kila anapochukua vitabu au magazeti?: km 1/01 3
je, wahubiri wanachanga mara mbili kwa ajili ya vitabu na magazeti?: km 2/01 7
michango kwa ajili ya ndugu katika nchi nyingine: km 1/05 7
mikutano:
hali nzuri za kujifunza: km 1/10 2
kuboresha mikutano: km 4/98 7
kufungua maandiko: km 9/00 3
kuhakikisha kwamba mikutano inaanza na kuisha kwa wakati: km 1/04 3
kupiga makofi: km 5/08 3
kusikiliza mikutano kwa kutumia simu: km 11/09 11
kusoma mbele ya watu: km 9/96 7
kutangaza nyimbo: km 5/07 3
majina yanayofaa kutumiwa: km 4/96 7
wakaribishaji wanavyoweza kuwasaidia wazazi: km 5/00 7
wanaostahili kutoa sala mkutanoni: km 6/00 3
mikutano ya utumishi wa shambani: km 9/01 3
misiba:
mambo ya kufanya: km 2/97 7
Mkutano wa Utumishi:
kupiga makofi: km 5/08 3
msemaji wa hotuba ya watu wote anapokosa kufika au amechelewa: km 8/96 2
sehemu ya kuomba kutembelewa:
ni nani anayepaswa kutuma ombi la kutembelewa na Shahidi?: km 11/11 2
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
kukusanya habari na kuzisambaza kwa wengine: km 9/06 2
kupiga makofi: km 5/08 3
maktaba: km 4/97 7
simu za mkononi na peja: km 7/02 3
ubatizo:
vitabu ambavyo wanafunzi wanaofanya maendeleo wanapaswa kujifunza: km 1/08 7; km 7/99 2
vikundi vya lugha za kigeni: km 1/03 3
vitabu na magazeti (machapisho):
kama inafaa mhubiri aandike anwani yake ya barua-pepe katika magazeti au vitabu anavyowaachia watu: km 11/07 3
kuamua kama inafaa kumtolea mtu machapisho: km 12/11 2
kupata nakala za kibinafsi za magazeti: km 7/04 3
wahubiri wasiotenda:
kuongoza mafunzo ya Biblia pamoja na wahubiri wasiotenda: km 11/98 6
wahubiri ambao hawajashiriki katika huduma kwa muda mrefu: km 11/00 3
watoto:
huduma ya shambani: km 5/99 7