Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w77 5/15 uku. 238
  • “Wakati wa Jua Kupunga”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Wakati wa Jua Kupunga”
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
  • Habari Zinazolingana
  • Kwa Nini Ni Muhimu Kujua Yaliyotukia Edeni?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Mungu Ana Kusudi Gani kwa Dunia?
    Imani ya Kweli—Siri ya Kuwa na Maisha Yenye Furaha
  • Je, Kweli Kulikuwa na Bustani ya Edeni?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Maisha ya Taabu Yanaanza
    Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
w77 5/15 uku. 238

“Wakati wa Jua Kupunga”

◇ “Wakati wa jua kupunga” [kwa halisi, wakati wa roho au upepo] ndipo Yehova alipotangazia Adamu na Hawa waasi hukumu yao katika Edeni. (Mwa. 3:8-19) Pengine alifanya hivyo kabla ya jua kutua, wakati ambao pepo baridi zenye kuburudisha zinapotokea katika jimbo ambako Bustani ya Edeni yadhaniwa ilikuwa. Mahali hapo pako mashariki ya Uturuki, karibu maili 140 (kilomita 225) magharibi ya kusini ya Mlima Ararati na maili chache kusini ya Ziwa Van.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki