Ni Kitu Gani Hiki Kinachoitwa Kifo?
Je! kifo kinamaliza maisha yote? Kuna kitu fulani katika wanadamu kisichokufa wakati wanapokufa? Je! wale wanaokufa wanaweza kuishi tena?
Yasome majibu yenye kufurahisha moyo katika kitabu chenye kurasa 192, Je! Uzima Ndio Uu Huu Tu? Uzione sababu nzuri za kuamini kwamba uzima sio uu huu tu. Ni shilingi 3.00 (100K) tu, bila ada ya posta.