Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w82 3/1 uku. 24
  • ‘Kitabu Kinachomfaa Kila Kijana’

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • ‘Kitabu Kinachomfaa Kila Kijana’
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
w82 3/1 uku. 24

‘Kitabu Kinachomfaa Kila Kijana’

Maneno hayo yamesemwa juu ya kitabu “Kupata Faida Zote za Ujana Wako.” Msomaji mmoja wa mahali paitwapo Tennessee aliandika hivi:

Mpendwa Bwana:

Nimetia ndani ya bahasha cheki ya dola 10.00 zinazolingana kwa ubora na ile habari yenye kusema ‘Matembezi ya Wavulana Pamoja na Wasichana na Uchumba.’ Tangu nilipoona nakala ya kitabu hiki, naona kwamba kila kijana wa Amerika angepata msaada akiacha mwenendo wake uongozwe na mafundisho yanayotolewa na kitabu hiki.

Kama ningeweza, ningetuma cheki ya kulipia nakala elfu moja. . . .

Kwa heshima,

J.W.J———.

Ni wazi kwamba msomaji huyo aliwaza kwamba ile sura peke yayo inayosema habari za “Matembezi ya Wavulana Pamoja na Wasichana na Uchumba” ilikuwa bora sana hata kitabu hicho kistahili kuwa cha bei hiyo. Ziko sura nyingine kama “Je! Ni Busara Kutofanya Ngono Kabla ya Kufunga Ndoa?” na “Je! Dawa za Kulevya Zinaleta Maisha Bora?” Jipatie nakala moja kwa kujaza na kutuma hati hii yenye anwani.

Tafadhalini nipelekeeni, bila ada ya posta, kile kitabu chenye ngozi ngumu, cha kurasa 192, “Kupata Faida Zote za Ujana Wako.” Nimewapelekea shilingi 6.50(Z1).

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki