‘Kitabu Kinachomfaa Kila Kijana’
Maneno hayo yamesemwa juu ya kitabu “Kupata Faida Zote za Ujana Wako.” Msomaji mmoja wa mahali paitwapo Tennessee aliandika hivi:
Mpendwa Bwana:
Nimetia ndani ya bahasha cheki ya dola 10.00 zinazolingana kwa ubora na ile habari yenye kusema ‘Matembezi ya Wavulana Pamoja na Wasichana na Uchumba.’ Tangu nilipoona nakala ya kitabu hiki, naona kwamba kila kijana wa Amerika angepata msaada akiacha mwenendo wake uongozwe na mafundisho yanayotolewa na kitabu hiki.
Kama ningeweza, ningetuma cheki ya kulipia nakala elfu moja. . . .
Kwa heshima,
J.W.J———.
Ni wazi kwamba msomaji huyo aliwaza kwamba ile sura peke yayo inayosema habari za “Matembezi ya Wavulana Pamoja na Wasichana na Uchumba” ilikuwa bora sana hata kitabu hicho kistahili kuwa cha bei hiyo. Ziko sura nyingine kama “Je! Ni Busara Kutofanya Ngono Kabla ya Kufunga Ndoa?” na “Je! Dawa za Kulevya Zinaleta Maisha Bora?” Jipatie nakala moja kwa kujaza na kutuma hati hii yenye anwani.
Tafadhalini nipelekeeni, bila ada ya posta, kile kitabu chenye ngozi ngumu, cha kurasa 192, “Kupata Faida Zote za Ujana Wako.” Nimewapelekea shilingi 6.50(Z1).