Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w83 12/1 uku. 24
  • Msaada wa kukabili Matatizo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Msaada wa kukabili Matatizo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1983
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1983
w83 12/1 uku. 24

Msaada wa kukabili Matatizo

Je! ungependa msaada huo? Mwanamke mmoja anasema jamaa yake imeupata kwa kusoma kitabu Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha. Mwanamke huyo anaandika hivi:

“Nilipoanza kukisoma mara ya kwanza sikuweza kukiacha. . . . Nilipata kwamba kitabu hicho ni cha maana sana kwa sababu siku hizi tunapatwa sana na mikazo ya taratibu hii kuliko wakati mwingine wote uliopita, na nyakati nyingine tunaelekea kutaabisha jamaa zetu kwa ajili ya hayo. Walakini sasa, kwa kuchunguza sura mbalimbali, tunaweza kukabili matatizo na kutumia kwa faida sana na kwa wingi wakati tunaotumia pamoja tukiwa jamaa.”

Kusoma pamoja sura kama “Ubora wa Kutia Adabu Katika Upendo” na “Kuendelea Kupashana Habari” kumesaidia jamaa nyingi zikabiliane na matatizo. Pokea kitabu hiki bora sana kwa kujaza na kutuma hati hii yenye anwani.

Tafadhalini mtume kitabu chenye kurasa 192, Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha. Ninyi mnilipie malipo ya posta. Mimi nimewapelekea Ksh. 9.00. (Tshs. 15/-, RWF 75)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki