Msaada wa kukabili Matatizo
Je! ungependa msaada huo? Mwanamke mmoja anasema jamaa yake imeupata kwa kusoma kitabu Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha. Mwanamke huyo anaandika hivi:
“Nilipoanza kukisoma mara ya kwanza sikuweza kukiacha. . . . Nilipata kwamba kitabu hicho ni cha maana sana kwa sababu siku hizi tunapatwa sana na mikazo ya taratibu hii kuliko wakati mwingine wote uliopita, na nyakati nyingine tunaelekea kutaabisha jamaa zetu kwa ajili ya hayo. Walakini sasa, kwa kuchunguza sura mbalimbali, tunaweza kukabili matatizo na kutumia kwa faida sana na kwa wingi wakati tunaotumia pamoja tukiwa jamaa.”
Kusoma pamoja sura kama “Ubora wa Kutia Adabu Katika Upendo” na “Kuendelea Kupashana Habari” kumesaidia jamaa nyingi zikabiliane na matatizo. Pokea kitabu hiki bora sana kwa kujaza na kutuma hati hii yenye anwani.
Tafadhalini mtume kitabu chenye kurasa 192, Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha. Ninyi mnilipie malipo ya posta. Mimi nimewapelekea Ksh. 9.00. (Tshs. 15/-, RWF 75)