Kiongozi Chenye Msaada kwa Vijana
Kupata Faida Zote za Ujana Wako
Kitabu Kupata Faida Zote za Ujana Wako kimeenezwa ajabu kwa nakala zaidi ya milioni kumi na nane katika muda wa miaka sita iliyopita. Kwa sababu gani? Maelezo ya msomaji mmoja yanasaidia kuonyesha sababu. Yeye aliandika hivi:
“Ni wazi kwamba vijana wengi kati yetu wanaelekeana na vishawishi vingi na maamuzi magumu. Mara nyingi hata wazazi wanavurugika sana wasijue watatimizaje daraka lao. Wanakosa habari za kuwaongoza. Sasa hivi tumemaliza kusoma kitabu kinachoitwa Kupata Faida Zote Ujana Wako, ambacho kimetolewa Mashahidi wa Yehova. Kina mashauri mengi mazuri kwa watu wa dini zote. Mimi sitoi mkazo kwamba watu wafuate mambo yote ya dini hiyo, lakini wakati inapotolea watu kitu kizuri, mimi naanaij ni hekima kujifaidi nacho.”
Wewe unaweza kujipatia hicho kiongozi chenye msaada Kupata Faida Zote za Ujana Wako, kwa kujaza na kutuma hati yenye anwani iliyopo chini.
Tafadhalini nipelekeeni kile kitabu chenye jalada ngumu cha kurasa 192, Kupata Faida Zote za Ujana Wako. Mnilipie pesa za kukipeleka kwa njia ya posta. Mimi nawapelekea Kshs 6.50, Tshs. 10.00, RWF 75.