Kuvumilia Mkazo Unaozidi Nguvu za Kibinadamu
Je! wewe unahisi hivyo? Watu wengi wanahisi hivyo. Nao wanasaidiwa kwa kujua jinsi ya kupambana na mkazo wenyewe. Mwanamke mmoja wa Bettendorf, lowa, anaandika kwamba yeye anawasimulia watu anaojifunza nao Biblia mambo yaliyoonwa katika Kitabu cha Mwaka, “kuwasaidia waone kwamba ‘mambo ayo hayo kwa namna ya mateso yanatimizwa katika ushirika mzima wa ndugu zenu ulimwenguni.’”—1 Petro 5:9, NW.
Soma Kitabu cha Utendaji 1986. Kinaweza kukusaidia uwe imara kwa ajili ya uadilifu na kufurahia kufanya hivyo. Kina ripoti zenye maelezo mengi juu ya utendaji wa Mashahidi wa Yehova katika Ujeremani, Ufilipino na Zimbabwe. Pia kina habari zinazoonyesha matukio ya kisasa ya kazi yao ulimwenguni pote.
Tafadhali mnipelekee, mkiwa mmelipia malipo ya posta, Kitabu cha Utendaji 1986, chenye jalada gumu na kurasa 256. Mimi nimewapelekea Kshs. 20.00 (Tshs. 60.00)