Sasa Una Msaada!
Je, umepata kuulizwa maulizo juu ya Biblia ambayo ulitamani kwamba ungeweza kuyajibu? Sasa kitabu kipya cha Kibiblia, kinachoitwa Reasoning From the Scriptures, kinapatikana. Mchungaji mmoja kutoka Uingereza alisema ni “cha mafaa makubwa sana,” akieleza hivi:
“Habari zinazohusu mambo makuu kama vile Har–Magedoni, Uumbaji, Mageuzi, Ajali, Ufalme, Mashahidi wa Yehova, Siku za Mwisho, Taabu, na Uovu ni yenye mafaa sana katika kueleza watu kweli za Biblia.”
Sasa unaweza kupokea nakala ya kibinafsi ya kiongozi hicho cha Kibiblia.
Tafadhali mnipelekee, kile kiongozi chenye kurasa 448 kinachoitwa Reasoning From the Scriptures.