‘Ili Kuondolea Mbali Upioeke Wake’
MWANAMUME mmoja akiwa katika mgawo wa kikazi katika Usultani wa Oman aliandikia afisi ya tawi ya Sosaiti ya Mnara wa Mlinzi katika India. “Siku chache kule nyuma,” akasema, “niliweza kuona kitabu Furaha—Namna ya Kuipata katika nyumba ya mmoja wa rafiki zangu. Ni wazi kwamba kitabu chote ni mali ya thamani kubwa sana. Nikitoboa mambo wazi, kitabu hiki kidogo kilinitolea mimi uvutano mwingi, nami nataka kumtolea mke wangu kitabu hicho cha upendo sana kiwe zawadi ya kuadhimisha siku ya arusi yetu ili kuondolea mbali upweke wake wa sasa. Nawaomba mnifadhili kwa kupelekea mke wangu nakala moja ya kitabu hicho mapema iwezekanavyo. Anwani yake nimeionyesha juu.”
Si kwamba tu kitabu hicho cha kurasa 192 kinaandaa msaada wenye kutia moyo juu ya kushughulika na hali zenye mikazo bali pia kinaonyesha njia inayoongoza kwenye masuluhisho ya kudumu kwa matatizo ya maisha.
Tafadhali mnipelekee, mkiwa mmelipia malipo ya posta, kile kitabu chenye jalada gumu Furaha—Namna ya Kuipata. Mimi nimewapelekea Kshs. 15/- (Tshs. 45/-).