Kapangwa Kitengenezo Kutumikia Mungu
“Mimi nimepita katika dini na mafarakano tofauti-tofauti ya kidini,” aandika mwanamume mmoja kutoka Meksiko. “Lakini sijaona kamwe tengenezo la jinsi hii.” Mwanamume huyo alikuwa ndiyo sasa tu amemaliza kusoma ile broshua Mashahidi wa Yehova Wanafanya Mapenzi ya Mungu kwa Umoja Ulimwenguni Pote. Alieleza hivi: “Kile ambacho chanivutia mimi zaidi ni uzito mlio nao katika kutimiza utume wa kuzihubiri habari njema za Ufalme kutoka nyumba kwa nyumba, kazini, barabarani, katika mabasi. Ni vizuri sana kupata watu ambao huyachukua mapenzi ya Mungu kwa uzito katika muda huu wenye unafiki mwingi sana wa kidini.”
Jifunze mambo ambayo Mashahidi wa Yehova huamini, jinsi wao hujipanga k kitengenezo, na jinsi tengenezo lao huendeshwa ulimwenguni pote. Peleka ombi la zile broshua tatu za kurasa 32 Mashahidi wa Yehova Wanafanya Mapenzi ya Mungu kwa Umoja Ulimwenguni Pote, Mashahidi wa Yehova Katika Karne ya Ishirini, na Shule na Mashahidi wa Yehova. Ni Kshs. 18/= (Tshs. 90/=) tu.
Tafadhali mnipelekee, mkiwa mmelipia malipo ya posta, zile broshua tatu Mashahidi wa Yehova Wanafanya Mapenzi ya Mungu kwa Umoja Ulimwenguni Pote, Mashahidi wa Yehova Katika Karne ya Ishirini, na Shule na Mashahidi wa Yehova. Mimi nawapelekea Kshs. 18/= (Tshs. 90/=).