Je! Uamini Utatu?
Je! Yesu Kristo ndiye Mungu Mweza Yote?
Mtu mmoja wa kutoka Hayward, Kalifornia, aandika hivi: “Mimi nastaajabishwa, nasisimuka, na kupendezwa sana na broshua iliyotajwa juu. Ni kazi ya ustadi yenye habari chungu nzima kutokana na vyanzo mbalimbali vya kidini nayo inanukuu maneno yenye kukiri kwamba fundisho la Utatu ni bandia, lenye kuongoza vibaya, na haliungwi mkono na Neno la Mungu, Biblia.”
Wengi wamethamini uchunguzi huu wa kiuanachuo, wenye vithibitisho vya kutosha juu ya fundisho hili la msingi la makanisa yaliyo mengi ya Jumuiya ya Wakristo. Ikiwa wewe ungependa kupokea nakala ya broshua hii, tafadhali jaza na upeleke hati yenye anwani iliyoambatishwa.
Mimi ningependa kupokea ile broshua yenye kurasa 32 Should You Believe in the Trinity?