Je! Kweli Biblia Ni Neno la Mungu?
Au Biblia ni kitabu chenye asili ya kibinadamu kama vinginevyo? Je! sayansi imeithibitisha Biblia kuwa yenye makosa? Je! kweli miujiza iliyoripotiwa katika Biblia ilitukia?
Barua moja kutoka Buffalo, New York, ilisema hivi: “Sasa tu ndipo nimemaliza kusoma kile kitabu The Bible—God’s Word or Man’s? Si kwamba tu chazungumza kikamili juu ya uchambuzi wote wa binadamu juu ya Biblia bali pia chatoa maelezo ya wazi juu ya kwa nini yapasa kukubaliwa kuwa Neno la Mungu.”
Ufikirie uthibitisho wewe mwenyewe. Pokea kichapo hiki kizuri kwa kujaza na kupeleka hati yenye anwani inayoandama.
Mimi ningependa kupokea kile kitabu cha kurasa 192 chenye jalada gumu The Bible—God’s Word or Man’s?