Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w91 2/15 uku. 32
  • ‘Vyenye msaada vikiwa miongozo ya maisha ya kila siku’

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • ‘Vyenye msaada vikiwa miongozo ya maisha ya kila siku’
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1991
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1991
w91 2/15 uku. 32

‘Vyenye msaada vikiwa miongozo ya maisha ya kila siku’

Hivyo ndivyo mwanamke mmoja kutoka Toronto, Kanada, alivyoviita vichapo vya Watch Tower Bible and Tract Society. “Mimi huona shangwe kuvisoma na huona zile habari zikiwa zenye kuarifu sana, zenye kuchangamsha, na juu ya yote zenye msaada zikiwa miongozo ya maisha ya kila siku.”

Aliongezea hivi: “Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu, na lazima nikubali wazi kwamba nimeshtuka kujifunza mengi zaidi kupitia vichapo vyenu kuliko katika muda wote wa miaka yangu ya kujifunza. Hasa nilionea shangwe kitabu chenu Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha. Hakuna vichapo vingine ambavyo vimeweza kuwa na matokeo chanya hivyo juu ya maisha yangu jinsi vile vyenu vimekuwa nayo—vimenisaidia sana sana; na kwa sababu hiyo nawashukuru nyinyi kweli kweli.”

Kitabu kilichotajwa juu, Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha, hutoa madokezo ya wazi ambayo husaidia kutatua matatizo na kufanya ndoa iwe upendezo ambao Muumba alikusudia iwe. Ili upate nakala yako, jaza na upeleke hati yenye anwani inayoandama.

Ningependa kupokea kile kitabu cha kurasa 192 chenye jalada gumu Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki