Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w95 7/15 kur. 2-3
  • Je, Mungu Anatawala Ulimwengu?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Mungu Anatawala Ulimwengu?
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1995
  • Habari Zinazolingana
  • Kanisa La Kweli na Msingi Wake
    Kweli Iongozayo Kwenye Uzima wa Milele
  • Njoo Usikilize Hotuba ya Watu Wote Yenye Kichwa “Ni Nani Tunayemtii?”
    Amkeni!—2005
  • Je, Sheria za Nyumbani Zinahitajika?
    Vijana Huuliza
  • Utii Je, Ni Somo Muhimu Utotoni?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2001
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1995
w95 7/15 kur. 2-3

Je, Mungu Anatawala Ulimwengu?

NI Jumapili asubuhi. Watu wengi hushuka kitandani, huvaa, hula kiamsha kinywa, na kwenda haraka kanisani. Huko wasikia mahubiri juu ya jinsi Mungu hutawala juu sana juu ya dunia, akiwa na mamlaka yasiyolinganika. Waambiwa kwamba yeye hujali sana watu. Yesu Kristo amerejezewa pia. Huenda wakasikia kwamba yeye ni Mfalme wa wafalme ambaye kwake kila goti hupigwa kwa utiifu.

Warudipo nyumbani kutoka kanisani, watu hawa huenda wakafungua televisheni na kusikiliza habari. Sasa wanasikia juu ya njaa kuu, uhalifu, uzoefu wa dawa za kulevya, umaskini. Huku wakitazama hali zenye kusikitisha za maradhi na kifo.

Watu hao huenda wakaanza kushangaa juu ya yale waliyosikia kanisani na hasa juu ya mambo yasiyofafanuliwa kamwe huko. Ikiwa Mungu ni mwenye upendo na mwenye nguvu zote, kwa nini mambo mabaya hufanyika? Na vipi juu ya Yesu Kristo? Bila shaka, kuna magoti mengi yasiyopigwa kwa kumtii.

[Picha katika ukurasa wa3]

Ikiwa Mungu hutawala ulimwengu, kwa nini kuna mateseko na msukosuko kama huu?

[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]

Jalada: Picha ya NASA

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki