Ukurasa wa 32
◼ Watu wanaposali Ufalme wa Mungu uje, ni nini kwa kweli wanachoomba?
UKURASA WA 5.
◼ Unaweza kujifunza jinsi gani kufikiri kabla ya kusema?
UKURASA WA 10.
◼ Je, Mungu alitumia mageuzi kuwatokeza wanadamu?
UKURASA WA 14.
◼ Eliya alikuwa nani, nasi tunaweza kujifunza nini kutokana naye?
UKURASA WA 18.
◼ Tunaweza kuthibitisha namna gani kwamba unabii wa Biblia haukuandikwa baada ya matukio?
UKURASA WA 22.
◼ Kwa nini Yehova Mungu ndiye Baba bora zaidi?
UKURASA WA 25.
◼ Je, kweli wanajimu walimletea Yesu zawadi usiku aliozaliwa?
UKURASA WA 31.