Ukurasa wa 32
◼ Ikiwa umempoteza mpendwa katika kifo, unaweza kutumia njia gani ambazo hazina madhara kukabiliana na huzuni?
ONA UKURASA WA 6.
◼ Je, kweli tunaweza kumkaribia Mungu?
ONA UKURASA WA 10.
◼ Kwa nini ni jambo linalofaa kumfikiria Mungu unapofanya mipango yako?
ONA UKURASA WA 11.
◼ Tunaweza kujifunza nini kutoka kwa Maria, mama ya Yesu?
ONA UKURASA WA 14.
◼ Ni jinsi gani unavyoweza kumfafanulia mtoto kuhusu kifo?
ONA UKURASA WA 18.
◼ Je, ni vibaya kutumia jina la kibinafsi la Mungu?
ONA UKURASA WA 30.