Ukurasa wa 32
◼ Je, Biblia ilitabiri matatizo tunayoona ulimwenguni leo? Ona ukurasa wa 6.
◼ Je, tunaweza kumwiga Mungu? Jinsi gani? Ona ukurasa wa 15.
◼ Watoto wote wanahitaji nini kutoka kwa baba zao? Ona ukurasa wa 18.
◼ Tunaweza kujifunza nini kutoka kwa Maria kwa kuchunguza yale yaliyotukia wakati wa kuzaliwa kwa Yesu? Ona ukurasa wa 22.
◼ Ikiwa Adamu alikuwa mkamilifu, angeweza jinsi gani kufanya dhambi? Ona ukurasa wa 27.