Ukurasa wa 32
◼ Ni nani watakaoachiliwa kutoka Hadesi? Ona ukurasa wa 9.
◼ Yesu alifananisha kifo na nini? Ona ukurasa wa 17.
◼ Ni hatua gani mbili unazoweza kuchukua ili kuimarisha ndoa yako? Ona ukurasa wa 19 na 20.
◼ Je, Mashahidi wa Yehova wanaamini kwamba ni wao tu watakaookolewa? Ona ukurasa wa 28.
◼ Unaweza kujenga imani yako juu ya mwamba jinsi gani? Ona ukurasa wa 29.