Ukurasa wa 32
◼ Mungu anaitwa nani? Ona ukurasa wa 6.
◼ Ni nani hasa anayeutawala ulimwengu? Ona ukurasa wa 8.
◼ Ikiwa una watoto, kwa nini ni muhimu kutenga wakati wa kuwa na mwenzi wako? Ona ukurasa wa 11.
◼ Ni nini kilichomchochea mwanamke fulani aliyekuwa na biashara ya magendo ya almasi na aliyekuwa akimwibia mwajiri wake abadilike na kuwa mfanyakazi mnyoofu? Ona ukurasa wa 26, 27.
◼ Kwa nini Mashahidi wa Yehova hawatumii sanamu katika ibada? Ona ukurasa wa 30, 31.