Ukurasa wa 32
◼ Ni katika njia gani Biblia ni tofauti na vitabu vyenye mashauri ya jinsi ya kujisaidia mwenyewe? Ona ukurasa wa 4.
◼ Jifunze kuhusu matatizo ambayo watafsiri walikabili walipokuwa wakitafsiri Biblia katika lugha za kisasa. Ona ukurasa wa 8.
◼ Je, ni kweli kwamba dini zote zinatuongoza kwa Mungu yuleyule? Ona ukurasa wa 12.
◼ Wale wanaohubiri habari njema kaskazini mwa Siberia, juu ya Mzingo wa Aktiki, wanakabili hali gani? Ona ukurasa wa 24.
◼ Unaweza kupata wapi faraja na msaada unapohisi huna tumaini wala mtu wa kukusaidia? Ona ukurasa wa 28.