Ukurasa wa 32
◼ Unaweza kupata wapi msaada wa kuielewa Biblia? Ona ukurasa wa 6-8.
◼ Je, tunaweza kupata amani ya moyoni katika ulimwengu huu wenye misukosuko? Ona ukurasa wa 10-12.
◼ Je, wamepata safina ya Noa? Ona ukurasa wa 13-14.
◼ Abigaili alikuwa nani, na tunajifunza nini leo kutokana na imani yake? Ona ukurasa wa 18-21.
◼ Je, Mungu anakubali ndoa ya wake wengi? Ona ukurasa wa 30.