Ukurasa wa 32
◼ Je, roho takatifu ni mtu? Ona ukurasa wa 4 hadi wa 7.
◼ Je, Mungu anatazamia mengi sana kutoka kwetu? Ona ukurasa wa 10.
◼ Je, inawezekana kwa mtu ambaye haamini kwamba kuna Mungu kuwa na imani katika Muumba? Ona ukurasa wa 11 hadi 14.
◼ Je, Ibilisi ni mtu halisi? Ona ukurasa wa 15.
◼ Tunaweza kujifunza nini kutokana na jinsi mtume Petro alivyokabiliana na shaka na woga? Ona ukurasa wa 21 hadi 25.