Yaliyomo
Januari 2016
© 2016 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
3 Walijitoa Wenyewe kwa hiari—Oceania
JUMA LA FEBRUARI 29, 2016–MACHI 6, 2016
7 Azimia Kuendeleza ‘Upendo Wako wa Kindugu’!
Andiko la mwaka 2016 ni lipi? Tunapaswa kutafakari nini kila tunapolitazama? Makala hii itatuonyesha jinsi tunavyoweza kunufaika zaidi na andiko letu la mwaka.
JUMA LA MACHI 7-13, 2016
12 Je, Unachochewa na ‘Zawadi ya Bure’ ya Mungu?
Yehova ametupatia zawadi bora zaidi. Mtume Paulo aliita “zawadi . . . ya bure isiyoelezeka.” (2 Kor. 9:15) Ni zawadi gani hiyo? Nayo inatuchocheaje kufuata hatua za Kristo Yesu kwa ukaribu, kuwapenda ndugu zetu, na kuwasamehe wengine kutoka moyoni? Tutajibu maswali hayo na kuchunguza mambo tunayoweza kufanya wakati wa majira ya Ukumbusho.
JUMA LA MACHI 14-20, 2016
17 Roho Hutoa Ushahidi Pamoja na Roho Yetu
JUMA LA MACHI 21-27, 2016
Makala hizi zitafafanua mambo yafuatayo: Mtu anajuaje kwamba amepokea mwito wa kwenda mbinguni? Kuwa mtiwa mafuta kunamaanisha nini? Watiwa mafuta wanapaswa kujionaje? Nasi tunapaswa kutendaje tunapoona idadi ya wale wanaokula mkate na kunywa divai ikiongezeka?
JUMA LA MACHI 28, 2016–APRILI 3, 2016
28 Kufanya Kazi na Mungu—Ni Sababu ya Kushangilia
Tangu zamani, Yehova amewaalika wengine wafanye kazi pamoja naye ili kutimiza kusudi lake. Kusudi lake ni kwamba ushahidi utolewe katika dunia yote, naye ametualika tushiriki katika kazi hiyo. Makala hii inazungumzia baraka tunazopata kwa kuwa wafanyakazi wenzi wa Mungu.
PICHA KWENYE JALADA:
MADAGASCAR
Painia akimweleza ujumbe wa Biblia mwanaume aliyepanda gari linalokokotwa na ng’ombe kwenye njia yenye mibuyu, jijini Morondava, Madagascar
IDADI YA WAHUBIRI
29,963
MAFUNZO YA BIBLIA
77,984
HUDHURIO LA UKUMBUSHO