Yaliyomo
Februari 2016
© 2016 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
3 Simulizi la Maisha—Yehova Amenisaidia Nifanikiwe Katika Utumishi Wake
JUMA LA APRILI 4-10, 2016
8 Yehova Alimwita “Rafiki Yangu”
JUMA LA APRILI 11-17, 2016
13 Waige Marafiki wa Karibu wa Yehova
Makala hizi zitatusaidia tuimarishe urafiki wetu na Yehova Mungu. Katika makala ya kwanza, tutachunguza mfano wa Abrahamu. Katika makala ya pili, tutazungumzia mfano wa Ruthu, Hezekia, na Maria mama ya Yesu.
18 Endelea Kumtumikia Yehova kwa Shangwe
JUMA LA APRILI 18-24, 2016
21 Uwe Mshikamanifu kwa Yehova
JUMA LA APRILI 25, 2016–MEI 1, 2016
26 Jifunze Kutoka kwa Watumishi Washikamanifu wa Yehova
Katika makala hizi, tutachunguza masimulizi ya Mfalme Daudi na watu wengine walioishi wakati mmoja na yeye. Masimulizi hayo yatatupatia kanuni zinazoweza kutusaidia tuendelee kuwa washikamanifu kwa Yehova hata tunapokabili hali ngumu.
31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu Vya Kale
PICHA KWENYE JALADA:
BENIN
Hétin, kijiji kilicho katika eneo lenye majimaji, nyumba nyingi zimejengwa kwa miti na njia kuu ya usafiri ni kutumia mtumbwi. Wahubiri 215 na mapainia 28 walio katika makutaniko matatu, walifurahi sana watu 1,600 walipohudhuria Ukumbusho mwaka 2014
IDADI YA WATU
10,703,000
IDADI YA WAHUBIRI
12,167
MAPAINIA WA KAWAIDA