Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w16 Februari kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
w16 Februari kur. 1-2

Yaliyomo

Februari 2016

© 2016 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

3 Simulizi la Maisha​—Yehova Amenisaidia Nifanikiwe Katika Utumishi Wake

JUMA LA APRILI 4-10, 2016

8 Yehova Alimwita “Rafiki Yangu”

JUMA LA APRILI 11-17, 2016

13 Waige Marafiki wa Karibu wa Yehova

Makala hizi zitatusaidia tuimarishe urafiki wetu na Yehova Mungu. Katika makala ya kwanza, tutachunguza mfano wa Abrahamu. Katika makala ya pili, tutazungumzia mfano wa Ruthu, Hezekia, na Maria mama ya Yesu.

18 Endelea Kumtumikia Yehova kwa Shangwe

JUMA LA APRILI 18-24, 2016

21 Uwe Mshikamanifu kwa Yehova

JUMA LA APRILI 25, 2016–MEI 1, 2016

26 Jifunze Kutoka kwa Watumishi Washikamanifu wa Yehova

Katika makala hizi, tutachunguza masimulizi ya Mfalme Daudi na watu wengine walioishi wakati mmoja na yeye. Masimulizi hayo yatatupatia kanuni zinazoweza kutusaidia tuendelee kuwa washikamanifu kwa Yehova hata tunapokabili hali ngumu.

31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu Vya Kale

PICHA KWENYE JALADA:

BENIN

Hétin, kijiji kilicho katika eneo lenye majimaji, nyumba nyingi zimejengwa kwa miti na njia kuu ya usafiri ni kutumia mtumbwi. Wahubiri 215 na mapainia 28 walio katika makutaniko matatu, walifurahi sana watu 1,600 walipohudhuria Ukumbusho mwaka 2014

IDADI YA WATU

10,703,000

IDADI YA WAHUBIRI

12,167

MAPAINIA WA KAWAIDA

1,492

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki