Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • wp16 Na. 2 uku. 1
  • Kwa Nini Yesu Aliteseka na Kufa?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kwa Nini Yesu Aliteseka na Kufa?
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2016
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2016
wp16 Na. 2 uku. 1
Jalada la Gazeti la Mnara wa Mlinzi, Na. 2 2016 | Kwa Nini Yesu Alikufa?

Kwa Nini Yesu Aliteseka Na Kufa?

Na. 2 2016

UKUMBUSHO WA KIFO CHA YESU | JUMATANO, MACHI 23, 2016

© 2016 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

GAZETI HILI, Mnara wa Mlinzi, linamheshimu Yehova Mungu, ambaye ndiye Mtawala Mkuu wa ulimwengu. Linawafariji watu kwa habari njema kwamba hivi karibuni Ufalme wa Mungu ulio mbinguni, utakomesha uovu wote na kuigeuza dunia kuwa paradiso. Linawatia moyo watu wamwamini Yesu Kristo, ambaye alikufa ili tupate uzima wa milele na ambaye sasa anatawala akiwa Mfalme wa Ufalme wa Mungu. Gazeti hili limekuwa likichapishwa tangu 1879 na si la kisiasa. Linashikamana na Biblia ambayo ndiyo msingi wake.

Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari.

Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea tovuti ya www.jw.org/sw

Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki