Yaliyomo
JUMA LA MEI 2-8, 2016
3 Vijana —Je, Mko Tayari Kubatizwa?
JUMA LA MEI 9-15, 2016
8 Vijana —Mnaweza Kujitayarishaje kwa Ajili ya Ubatizo?
Tukiwa watumishi wa Yehova, tunafurahi kuona watu 250,000 hivi wakibatizwa kila mwaka. Wengi wanaochukua hatua hiyo muhimu ni vijana, wakiwemo wale ambao hawajafikia umri wa miaka 13. Walijuaje kwamba wako tayari kusimama upande wa Yehova? Walifanya nini ili wajitayarishe kwa ajili ya ubatizo? Makala hizi zitajibu maswali hayo.
JUMA LA MEI 16-22, 2016
13 Unaweza Kuchangiaje Kuimarisha Umoja Wetu wa Kikristo?
Yehova hubariki mambo tunayotimiza tunapofanya kazi pamoja na kushirikiana. Makala hii ina mapendekezo yanayoonyesha jinsi tunavyoweza kushirikiana katika huduma yetu, kutanikoni, na katika familia.
JUMA LA MEI 23-29, 2016
18 Yehova Anawaongoza Watu Wake Katika Njia ya Uzima
Sikuzote Yehova amewaongoza watu wake kwa njia bora. Makala hii inazungumzia jinsi ambavyo Yehova amekuwa akirekebisha mwongozo wake kulingana na hali. Pia, tutaona jinsi tunavyoweza kuonyesha kwamba tunategemea mwongozo wa Yehova.