Yaliyomo
3 Je, Huduma Yako ni Kama Umande?
JUMA LA MEI 30, 2016–JUNI 5, 2016
5 Uaminifu Hutuwezesha Kupata Kibali cha Mungu
Makala hii inazungumzia kile kilichomchochea Yeftha na binti yake waishi kulingana na kanuni za Mungu licha ya changamoto mbalimbali. Tutajifunza kwa nini kupata kibali cha Mungu ni bora kuliko dhabihu yoyote ile tunayotoa.
10 Je, Unatumia kwa Hekima Uwezo Wako wa Kuwazia?
JUMA LA JUNI 6-12, 2016
13 “Acheni Uvumilivu Ukamilishe Kazi Yake”
Ili tupate zawadi ya uzima wa milele, tunapaswa kuvumilia mpaka mwisho. Makala hii inazungumzia mambo manne yatakayotusaidia tuvumilie na mifano mitatu ya watu waliovumilia. Pia, inaeleza kazi ambayo uvumilivu unapaswa kukamilisha ndani ya kila mmoja wetu.
JUMA LA JUNI 13-19, 2016
18 Kwa Nini Tunapaswa Kukutanika Pamoja kwa Ajili ya Ibada?
Wakristo wote wanakabili changamoto zinazoweza kufanya iwe vigumu kuhudhuria mikutano ya kutaniko. Ili kutusaidia tushinde changamoto hizo, makala hii inazungumzia jinsi kuhudhuria mikutano kunavyotunufaisha sisi na wengine na vilevile jinsi Yehova Mungu anavyohusika.
23 Simulizi la Maisha—Walikuwa Watawa, Sasa Ni Dada Kiroho
JUMA LA JUNI 20-26, 2016
27 Dumisha Msimamo wa Kikristo Katika Ulimwengu Uliogawanyika
Kadiri serikali za wanadamu zinavyokaribia mwisho, tunatazamia kwamba zitazidi kuchukizwa na msimamo wa kutounga mkono upande wowote. Makala hii inazungumzia mambo manne yatakayotusaidia tuendelee kuwa thabiti na kudumisha msimamo wetu.