Yaliyomo
3 Walijitoa Wenyewe kwa Hiari—Nchini Ghana
JUMA LA AGOSTI 29, 2016–SEPTEMBA 4, 2016
Yesu alitufundisha ‘tuutafute kwanza ufalme,’ si vitu vya kimwili. Tunaweza kuepukaje mtego wa kupenda vitu vya kimwili, na hivyo kufaulu kurahisisha maisha yetu ili tufuatie mambo ya kiroho yaliyo muhimu zaidi? Fikiria maneno ya Yesu yenye kutia moyo ambayo ni sehemu ya Mahubiri yake ya Mlimani yanayopatikana kwenye Mathayo 6:25-34.
JUMA LA SEPTEMBA 5-11, 2016
13 Kwa Nini Tunapaswa ‘Kuendelea Kukesha’?
Tukiwa Wakristo, lazima tuchukue kwa uzito himizo la Yesu la ‘kuendelea kukesha’ katika siku hizi za mwisho. (Mt. 24:42) Ili tufaulu, tunahitaji kujilinda na mitazamo isiyofaa inayoweza kutufanya tushindwe kuendelea kukesha na kuwa macho kuhusiana na kuja kwa Yesu. Makala hii inaeleza jinsi tunavyoweza kuendelea kuwa macho na kuepuka kukengeushwa.
18 “Usiogope. Mimi Mwenyewe Nitakusaidia”
JUMA LA SEPTEMBA 12-18, 2016
21 Tunathamini Kupokea Fadhili Zisizostahiliwa za Mungu
JUMA LA SEPTEMBA 19-25, 2016
26 Eneza Habari Njema za Fadhili Zisizostahiliwa
Makala hizi mbili zinaeleza njia mbalimbali ambazo tunafaidika kutokana na fadhili zisizostahiliwa za Yehova. Zinaeleza pia kwa nini tunapaswa kuonyesha shukrani zetu kwa kuwaambia wengine jinsi wanavyoweza kufaidika kutokana na fadhili zisizostahiliwa za Yehova.