Yaliyomo
3 Simulizi la Maisha—Furaha Ambayo Nimepata kwa Kutoa
JUMA LA SEPTEMBA 26, 2016–OKTOBA 2, 2016
JUMA LA OKTOBA 3-9, 2016
13 Jinsi ya Kufanikiwa Katika Ndoa ya Kikristo
Makala ya kwanza inazungumzia chanzo cha ndoa, mambo ambayo Sheria ya Musa ilisema kuihusu, na mwongozo ambao Yesu alitoa kuhusu ndoa za Wakristo. Makala ya pili inazungumzia kile ambacho Maandiko yanasema kuhusu majukumu ya mume na mke.
18 Tafuta Kitu Chenye Thamani Zaidi Kuliko Dhahabu
JUMA LA OKTOBA 10-16, 2016
20 Je, Unaona Uhitaji wa Kufanya Maendeleo ya Kiroho?
JUMA LA OKTOBA 17-23, 2016
25 Je, Unaona Umuhimu wa Kuwazoeza Wengine?
Tunashangilia tunapoona jinsi ambavyo kazi ya kuhubiri Ufalme inasonga mbele. Lakini je, tunaona vile jambo hilo linatupatia nafasi za kuongeza utumishi wetu kwa Mungu? Sisi binafsi tunawezaje kufanya maendeleo ya kiroho na wakati uleule kuwasaidia wanafunzi wetu wa Biblia wafanye vivyo hivyo? Kwa nini kuna uhitaji wa kuwazoeza wengine? Makala hizi zinazungumzia mambo haya muhimu.