Yaliyomo
JUMA LA OKTOBA 24-30, 2016
JUMA LA OKTOBA 31, 2016–NOVEMBA 6, 2016
8 Endelea Kushindania Baraka za Yehova
Mikazo na mahangaiko yanaweza kulemea akili zetu na kufanya mikono yetu ilegee kwa njia ya mfano. Makala hizi zitakusaidia kuchunguza jinsi mkono wenye nguvu wa Yehova unavyoweza kukupatia nguvu na ujasiri unaohitaji ili uvumilie. Pia, zitakusaidia kuchunguza mambo unayoweza kufanya ili upambane au ushindanie baraka za Yehova.
13 Maswali Kutoka kwa Wasomaji
14 Kutetea Habari Njema Mbele ya Maofisa Wakuu
JUMA LA NOVEMBA 7-13, 2016
17 Je, Mtindo Wako wa Mavazi Unamtukuza Mungu?
Watumishi wa Mungu ulimwenguni pote wangependa mavazi na mapambo yao yawe nadhifu, safi, na yakubalike katika eneo lao, hivyo yapatane na kanuni za Kimaandiko. Unaweza kuhakikishaje kwamba mtindo wako wa mavazi unamletea Yehova utukufu?
22 Nufaika na Mwongozo wa Yehova Leo
JUMA LA NOVEMBA 14-20, 2016
23 Vijana, Imarisheni Imani Yenu
JUMA LA NOVEMBA 21-27, 2016
28 Wazazi, Wasaidieni Watoto Wenu Wasitawishe Imani
Katika makala hizi mbili, tutachunguza jinsi watoto wanavyoweza kujifunza kutumia uwezo wao wa kufikiri ili kuimarisha imani yao na kuitetea. Pia, tutachunguza jinsi wazazi Wakristo wanavyoweza kufanya watoto wao wafurahie kusitawisha imani kwa Mungu na katika Neno lake.