Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w16 Septemba uku. 2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
w16 Septemba uku. 2

Yaliyomo

JUMA LA OKTOBA 24-30, 2016

3 “Mikono Yako Isilegee”

JUMA LA OKTOBA 31, 2016–NOVEMBA 6, 2016

8 Endelea Kushindania Baraka za Yehova

Mikazo na mahangaiko yanaweza kulemea akili zetu na kufanya mikono yetu ilegee kwa njia ya mfano. Makala hizi zitakusaidia kuchunguza jinsi mkono wenye nguvu wa Yehova unavyoweza kukupatia nguvu na ujasiri unaohitaji ili uvumilie. Pia, zitakusaidia kuchunguza mambo unayoweza kufanya ili upambane au ushindanie baraka za Yehova.

13 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

14 Kutetea Habari Njema Mbele ya Maofisa Wakuu

JUMA LA NOVEMBA 7-13, 2016

17 Je, Mtindo Wako wa Mavazi Unamtukuza Mungu?

Watumishi wa Mungu ulimwenguni pote wangependa mavazi na mapambo yao yawe nadhifu, safi, na yakubalike katika eneo lao, hivyo yapatane na kanuni za Kimaandiko. Unaweza kuhakikishaje kwamba mtindo wako wa mavazi unamletea Yehova utukufu?

22 Nufaika na Mwongozo wa Yehova Leo

JUMA LA NOVEMBA 14-20, 2016

23 Vijana, Imarisheni Imani Yenu

JUMA LA NOVEMBA 21-27, 2016

28 Wazazi, Wasaidieni Watoto Wenu Wasitawishe Imani

Katika makala hizi mbili, tutachunguza jinsi watoto wanavyoweza kujifunza kutumia uwezo wao wa kufikiri ili kuimarisha imani yao na kuitetea. Pia, tutachunguza jinsi wazazi Wakristo wanavyoweza kufanya watoto wao wafurahie kusitawisha imani kwa Mungu na katika Neno lake.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki