Yaliyomo
3 Simulizi la Maisha—Nimejitahidi Kuiga Mifano Mizuri
JUMA LA NOVEMBA 28, 2016–DESEMBA 4, 2016
8 “Msisahau Ukaribishaji-Wageni”
JUMA LA DESEMBA 5-11, 2016
13 Dumisha Hali Nzuri ya Kiroho Unapotumikia Kwenye Eneo la Kigeni
Katika miaka ya karibuni, makutaniko yetu yamekuwa na watu kutoka mataifa mbalimbali. Makala ya kwanza itatusaidia kujua jinsi tunavyoweza kuonyesha kwamba tunawajali kikweli wageni kutoka mataifa mengine wanaohudhuria mikutano katika kutaniko letu. Makala ya pili inazungumzia jinsi ambavyo wale wanaotumikia katika eneo la lugha ya kigeni wanaweza kudumisha afya yao ya kiroho.
18 Je, ‘Unalinda Hekima Inayotumika’?
JUMA LA DESEMBA 12-18, 2016
21 Imarisha Imani Yako Kuhusu Mambo Unayotumaini
JUMA LA DESEMBA 19-25, 2016
26 Onyesha Imani Yako Katika Ahadi za Yehova
Makala hizi zinazungumzia mambo mawili kuhusu imani, yanayotajwa katika andiko la Waebrania 11:1. Makala ya kwanza inaonyesha jinsi ambavyo tunaweza kukuza imani na kuidumisha ikiwa yenye nguvu. Makala ya pili inaonyesha kwamba imani ya kweli inahusisha mengi zaidi ya kuelewa tu kusudi la Yehova la wakati ujao kutuelekea.
31 Je, Wajua?