Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w16 Oktoba uku. 2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
w16 Oktoba uku. 2

Yaliyomo

3 Simulizi la Maisha​—Nimejitahidi Kuiga Mifano Mizuri

JUMA LA NOVEMBA 28, 2016–DESEMBA 4, 2016

8 “Msisahau Ukaribishaji-Wageni”

JUMA LA DESEMBA 5-11, 2016

13 Dumisha Hali Nzuri ya Kiroho Unapotumikia Kwenye Eneo la Kigeni

Katika miaka ya karibuni, makutaniko yetu yamekuwa na watu kutoka mataifa mbalimbali. Makala ya kwanza itatusaidia kujua jinsi tunavyoweza kuonyesha kwamba tunawajali kikweli wageni kutoka mataifa mengine wanaohudhuria mikutano katika kutaniko letu. Makala ya pili inazungumzia jinsi ambavyo wale wanaotumikia katika eneo la lugha ya kigeni wanaweza kudumisha afya yao ya kiroho.

18 Je, ‘Unalinda Hekima Inayotumika’?

JUMA LA DESEMBA 12-18, 2016

21 Imarisha Imani Yako Kuhusu Mambo Unayotumaini

JUMA LA DESEMBA 19-25, 2016

26 Onyesha Imani Yako Katika Ahadi za Yehova

Makala hizi zinazungumzia mambo mawili kuhusu imani, yanayotajwa katika andiko la Waebrania 11:1. Makala ya kwanza inaonyesha jinsi ambavyo tunaweza kukuza imani na kuidumisha ikiwa yenye nguvu. Makala ya pili inaonyesha kwamba imani ya kweli inahusisha mengi zaidi ya kuelewa tu kusudi la Yehova la wakati ujao kutuelekea.

31 Je, Wajua?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki