Yaliyomo
JUMA LA DESEMBA 26, 2016–JANUARI 1, 2017
4 Endeleeni Kutiana Moyo Kila Siku
Yehova Mungu na Yesu Kristo ni mifano bora zaidi ya kuwatia watu moyo. Pia, mtume Paulo aliona kuwatia watu moyo kuwa jambo muhimu sana. Kuiga kielelezo chao kutatusaidia tuonyeshe upendo na kuwatia moyo wengine tukiwa nyumbani na katika Jumba la Ufalme.
JUMA LA JANUARI 2-8, 2017
9 Tumepangwa Kitengenezo Kulingana na Kitabu cha Mungu
JUMA LA JANUARI 9-15, 2017
14 Je, Unaheshimu Sana Kitabu cha Yehova?
Makala hizi zinajibu maswali yafuatayo: Kwa nini tunatazamia waabudu wa Yehova wawe wamepangwa kitengenezo? Tunawezaje kufanya mambo kwa utaratibu ulioonyeshwa katika Kitabu cha Mungu? Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunaunga mkono kwa ushikamanifu tengenezo la Yehova?
JUMA LA JANUARI 16-22, 2017
JUMA LA JANUARI 23-29, 2017
26 Waliwekwa Huru Kutoka Katika Dini za Uwongo
Makala hizi zinaeleza ni lini watu wa Mungu waliingia katika utekwa wa Babiloni na jitihada ambazo Wakristo watiwa mafuta walifanya katika miaka ya 1870 ili kuelewa Neno la Mungu. Tutachunguza pia msimamo thabiti ambao Wanafunzi wa Biblia walichukua kuelekea Babiloni Mkubwa, na tutaona utekwa huo uliisha lini.