Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w16 Novemba uku. 2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
w16 Novemba uku. 2

Yaliyomo

3 Neno Lililogusa Moyo Sana!

JUMA LA DESEMBA 26, 2016–JANUARI 1, 2017

4 Endeleeni Kutiana Moyo Kila Siku

Yehova Mungu na Yesu Kristo ni mifano bora zaidi ya kuwatia watu moyo. Pia, mtume Paulo aliona kuwatia watu moyo kuwa jambo muhimu sana. Kuiga kielelezo chao kutatusaidia tuonyeshe upendo na kuwatia moyo wengine tukiwa nyumbani na katika Jumba la Ufalme.

JUMA LA JANUARI 2-8, 2017

9 Tumepangwa Kitengenezo Kulingana na Kitabu cha Mungu

JUMA LA JANUARI 9-15, 2017

14 Je, Unaheshimu Sana Kitabu cha Yehova?

Makala hizi zinajibu maswali yafuatayo: Kwa nini tunatazamia waabudu wa Yehova wawe wamepangwa kitengenezo? Tunawezaje kufanya mambo kwa utaratibu ulioonyeshwa katika Kitabu cha Mungu? Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunaunga mkono kwa ushikamanifu tengenezo la Yehova?

19 “Kazi Ni Kubwa”

JUMA LA JANUARI 16-22, 2017

21 Wameitwa Kutoka Gizani

JUMA LA JANUARI 23-29, 2017

26 Waliwekwa Huru Kutoka Katika Dini za Uwongo

Makala hizi zinaeleza ni lini watu wa Mungu waliingia katika utekwa wa Babiloni na jitihada ambazo Wakristo watiwa mafuta walifanya katika miaka ya 1870 ili kuelewa Neno la Mungu. Tutachunguza pia msimamo thabiti ambao Wanafunzi wa Biblia walichukua kuelekea Babiloni Mkubwa, na tutaona utekwa huo uliisha lini.

31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu Vya Kale

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki