Yaliyomo
3 Simulizi La Maisha—Nimekuwa “Mambo Yote kwa Watu wa Namna Zote”
JUMA LA JANUARI 30, 2017–FEBRUARI 5, 2017
8 Mmewekwa Huru kwa Fadhili Zisizostahiliwa
JUMA LA FEBRUARI 6-12, 2017
13 “Kukaza Akili Juu ya Roho Humaanisha Uzima na Amani”
Tunapata habari muhimu kuhusiana na maisha yetu tukiwa Wakristo katika Waroma sura ya 6 na 8. Kujifunza habari hiyo kutatusaidia kujua jinsi tunavyoweza kunufaika na fadhili zisizostahiliwa za Mungu na kuendelea kukazia fikira mambo yatakayotunufaisha milele.
JUMA LA FEBRUARI 13-19, 2017
19 Mtupie Yehova Mahangaiko Yako Yote
JUMA LA FEBRUARI 20-26, 2017
24 Yehova Huwathawabisha Wale Wanaomtafuta kwa Bidii
Makala ya kwanza inazungumzia jinsi tunavyoweza kumtupia Mungu mahangaiko yetu yote. Makala ya pili inaeleza jinsi tunavyoweza kuimarisha imani yetu kwa kusadiki kabisa kwamba Mungu huwathawabisha wale wanaomtafuta kwa bidii. Inaonyesha pia jinsi tumaini la kupata thawabu linavyoweza kutunufaisha..