Yaliyomo
JUMA LA APRILI 3-9, 2017
3 Kusudi la Yehova Litatimizwa!
JUMA LA APRILI 10-16, 2017
8 Fidia—“Tuzo Kamilifu” Kutoka kwa Baba
Dhabihu ya fidia ya Yesu ina umuhimu mkubwa katika imani yetu na katika kutimizwa kwa kusudi la awali la Yehova kwa wanadamu. Makala hizi mbili zinaeleza kwa nini ilikuwa lazima fidia itolewe, mambo iliyotimiza, na jinsi tunavyoweza kuonyesha kwamba tunathamini kutoka moyoni zawadi hiyo ya upendo unaopita wote kutoka kwa Baba yetu wa mbinguni.
13 Simulizi la Maisha—Tumejionea Fadhili Zisizostahiliwa za Mungu Katika Njia Nyingi
JUMA LA APRILI 17-23, 2017
18 Yehova Anawaongoza Watu Wake
JUMA LA APRILI 24-30, 2017
23 Ni Nani Anayewaongoza Watu wa Mungu Leo?
Kwa karne nyingi, Yehova amekuwa akiwachagua wanaume waongoze mambo. Kwa nini tunaweza kukata kauli kwamba Yehova amekuwa akiwategemeza wanaume hao, na tunajuaje kuwa leo anamuunga mkono mtumwa mwaminifu na mwenye busara? Makala hizi zitaeleza njia tatu ambazo sikuzote zimewatambulisha wawakilishi wa Mungu.