Yaliyomo
3 Simulizi la Maisha—Nimefaidika kwa Kutembea na Watu Wenye Hekima
JUMA LA MEI 1-7, 2017
8 Mpe Heshima Yule Anayestahili
Wakristo wanahitaji kuwa na maoni yenye usawaziko kuhusu jinsi ya kuonyesha heshima na staha. Ni nani anayestahili kuonyeshwa heshima? Kwa nini? Makala hii itatusaidia kujibu maswali hayo, na itatuonyesha faida ya kuwaonyesha heshima wale wanaostahili.
JUMA LA MEI 8-14, 2017
13 Onyesha Imani—Amua kwa Hekima!
Kulingana na Biblia, hatupaswi kusitasita kufanya maamuzi. Lakini kwa nini tunahitaji kufanya maamuzi kwa hekima? Ni nini kitakachotusaidia kufanya hivyo? Na je, nyakati nyingine tunapaswa kubadili maamuzi ambayo tulifanya mwanzoni? Makala hii itatusaidia kujibu maswali hayo.
JUMA LA MEI 15-21, 2017
18 Mtumikie Yehova kwa Moyo Kamili!
JUMA LA MEI 22-28, 2017
23 Je, Utauelekeza Moyo Wako Kwenye Mambo Yaliyoandikwa?
Kwa kuwa sisi si wakamilifu, tunakosea. Hata hivyo, je, hilo linamaanisha kwamba hatuwezi kumfurahisha Yehova? Katika makala hizi mbili, tutachunguza mifano ya wafalme wanne wa Yuda na makosa waliyofanya, ambayo baadhi yake yalikuwa mazito sana. Lakini bado Yehova aliwaona wafalme hao kuwa wenye moyo kamili. Je, Mungu ataona kuwa tuna moyo kamili licha ya makosa tunayofanya?