Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w17 Machi uku. 2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
w17 Machi uku. 2

Yaliyomo

3 Simulizi la Maisha​—Nimefaidika kwa Kutembea na Watu Wenye Hekima

JUMA LA MEI 1-7, 2017

8 Mpe Heshima Yule Anayestahili

Wakristo wanahitaji kuwa na maoni yenye usawaziko kuhusu jinsi ya kuonyesha heshima na staha. Ni nani anayestahili kuonyeshwa heshima? Kwa nini? Makala hii itatusaidia kujibu maswali hayo, na itatuonyesha faida ya kuwaonyesha heshima wale wanaostahili.

JUMA LA MEI 8-14, 2017

13 Onyesha Imani​—Amua kwa Hekima!

Kulingana na Biblia, hatupaswi kusitasita kufanya maamuzi. Lakini kwa nini tunahitaji kufanya maamuzi kwa hekima? Ni nini kitakachotusaidia kufanya hivyo? Na je, nyakati nyingine tunapaswa kubadili maamuzi ambayo tulifanya mwanzoni? Makala hii itatusaidia kujibu maswali hayo.

JUMA LA MEI 15-21, 2017

18 Mtumikie Yehova kwa Moyo Kamili!

JUMA LA MEI 22-28, 2017

23 Je, Utauelekeza Moyo Wako Kwenye Mambo Yaliyoandikwa?

Kwa kuwa sisi si wakamilifu, tunakosea. Hata hivyo, je, hilo linamaanisha kwamba hatuwezi kumfurahisha Yehova? Katika makala hizi mbili, tutachunguza mifano ya wafalme wanne wa Yuda na makosa waliyofanya, ambayo baadhi yake yalikuwa mazito sana. Lakini bado Yehova aliwaona wafalme hao kuwa wenye moyo kamili. Je, Mungu ataona kuwa tuna moyo kamili licha ya makosa tunayofanya?

28 Kuwa Rafiki Urafiki Unapokuwa Hatarini

32 Jina la Kibiblia Katika Mtungi wa Kale

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki