Yaliyomo
JUMA LA MEI 29, 2017–JUNI 4, 2017
3 “Kile Unachoweka Nadhiri, Timiza”
Umeweka nadhiri ngapi kwa Yehova? Moja, mbili, au zaidi? Je, unahisi kwamba unajitahidi kadiri uwezavyo kuishi kulingana na nadhiri hizo? Vipi kuhusu nadhiri yako ya kujiweka wakfu au ya ndoa? Makala hii inatukumbusha mfano bora ambao Yeftha na Hana walituwekea tunapojitahidi kutimiza kwa uaminifu nadhiri zetu kwa Mungu.
JUMA LA JUNI 5-11, 2017
9 Ni Nini Kitakachoondolewa Ufalme wa Mungu Utakapokuja?
Mara nyingi sisi hufikiria mambo ambayo Yehova atatufanyia katika Paradiso, lakini katika makala hii tutakazia yale ambayo ataondoa. Ni nini ambacho Yehova ataondoa ili kuleta ulimwengu wenye amani na furaha? Kutafakari jibu la swali hilo kutaimarisha imani yetu na azimio letu la kuendelea kuvumilia.
14 Simulizi la Maisha—Nimeazimia Kuwa Askari-Jeshi wa Kristo
JUMA LA JUNI 12-18, 2017
18 “Mwamuzi wa Dunia Yote” Hufanya Yaliyo Sawa Sikuzote
JUMA LA JUNI 19-25, 2017
23 Je, Una Maoni Kama ya Yehova Kuhusu Haki?
Tunapoamini kwamba sisi au mtu mwingine ametendewa isivyo haki, huenda imani, unyenyekevu, na ushikamanifu wetu ukajaribiwa. Makala hizi zinaeleza kuhusu masimulizi matatu ya Biblia yatakayotusaidia kuwa na maoni ya Yehova kuhusu haki.
JUMA LA JUNI 26, 2017–JULAI 2, 2017
28 Roho Yako ya Kujitolea na Imletee Yehova Sifa!
Ijapokuwa Yehova hahitaji chochote, anapendezwa anapoona hamu kubwa tunayoonyesha kwa kuunga mkono enzi yake kuu. Kitabu cha Waamuzi sura ya 4 na 5 kinaonyesha jinsi Yehova anavyothamini tunapojitoa kwa hiari kufuata mwongozo wake ulio wazi.