Yaliyomo
JUMA LA JULAI 3-9, 2017
3 Kuwasaidia “Wakaaji Wageni” ‘Wamtumikie Yehova kwa Kushangilia’
JUMA LA JULAI 10-16, 2017
8 Kuwasaidia Watoto wa “Wakaaji Wageni”
Makala ya kwanza inazungumzia changamoto za ndugu na dada zetu wakimbizi, na inatoa mapendekezo mazuri ya jinsi tunavyoweza kuwasaidia kwa njia bora. Makala ya pili inazungumzia jinsi kutumia kanuni za Biblia kunavyoweza kuwasaidia wazazi wahamiaji kufanya maamuzi yatakayowanufaisha watoto wao.
13 Simulizi la Maisha—Kuwa Kiziwi Hakujanizuia Kuwafundisha Wengine
JUMA LA JULAI 17-23, 2017
JUMA LA JULAI 24-30, 2017
22 “Je, Unanipenda Kuliko Hawa?”
Si rahisi kwa mtumishi yeyote wa Yehova kuishi katika mfumo huu wa mambo. Makala hizi zinaonyesha jinsi tunavyoweza kupambana na roho ya ubinafsi ya ulimwengu huu kwa kudumisha upendo wetu kwa Yehova, kwa kweli za Biblia, na kwa ndugu zetu. Makala hizi pia zinazungumzia jinsi tunavyoweza kuonyesha upendo kwa Kristo badala ya vitu vya ulimwengu huu.
27 Jinsi Gayo Alivyowasaidia Ndugu Zake