Yaliyomo
JUMA LA JULAI 31, 2017–AGOSTI 6, 2017
4 Yehova Huandaa Faraja Katika Dhiki Zetu Zote
Ingawa sote hukabili majaribu na dhiki, Yehova huandaa faraja tunayohitaji. Makala hii inaeleza maandalizi muhimu tunayoweza kutumia ili kupata faraja ya kweli sasa na wakati ujao.
JUMA LA AGOSTI 7-13, 2017
9 Weka Moyo Wako Juu ya Hazina za Kiroho
Makala hii itatusaidia kutumia somo ambalo Yesu alifundisha katika mfano wa mwanabiashara anayetafuta lulu. Itatusaidia pia kuchanganua maoni yetu ya kibinafsi kuhusu mgawo ambao Wakristo wamepewa wa huduma inayookoa uhai na kweli ambazo tumejifunza kwa miaka mingi.
16 Je, Utasuluhisha Kutoelewana na Kuendeleza Amani?
21 “Busara Yako na Ibarikiwe!”
JUMA LA AGOSTI 14-20, 2017
22 Kaza Macho Yako Kwenye Suala Kuu
JUMA LA AGOSTI 21-27, 2017
27 Unga Mkono Enzi Kuu ya Yehova!
Kwa sababu ya pilikapilika za maisha, ni rahisi kusahau jambo muhimu. Makala hizi zitatusaidia kuelewa umuhimu wa enzi kuu ya Yehova na kuelewa jinsi tunavyoweza kuiunga mkono.