Yaliyomo
JUMA LA SEPTEMBA 25, 2017–OKTOBA 1, 2017
3 Je, Uko Tayari Kungoja kwa Subira?
JUMA LA OKTOBA 2-8, 2017
8 ‘Amani ya Mungu Ni Yenye Ubora Unaozidi Fikira Zote’
Makala ya kwanza inaeleza ni kwa nini tunapaswa kuwa tayari kumngojea Yehova. Pia, tutachunguza mfano wa wanaume na wanawake waaminifu wa kale unaoweza kutusaidia kujifunza kungoja kwa subira. Makala ya pili inakazia jinsi Yehova anavyoweza kutimiza mambo ambayo hatungewazia anaweza kufanya, mambo yanayopita matarajio yetu. Hilo litatusaidia kuendelea kumtegemea huku tukingoja kwa subira atende kwa niaba yetu.
13 Simulizi la Maisha—Kuvumilia Majaribu Huleta Baraka
JUMA LA OKTOBA 9-15, 2017
17 Jinsi ya Kuvua Utu wa Zamani na Kutourudia Kamwe
JUMA LA OKTOBA 16-22, 2017
22 Jinsi ya Kuvaa Utu Mpya na Kuudumisha
Makala ya kwanza inaeleza maana ya kuvua utu wa zamani na kwa nini ni muhimu tuuvue bila kukawia. Pia, inazungumzia mambo tunayoweza kufanya ili kuvua utu wa zamani. Makala ya pili inazungumzia sifa kadhaa ambazo ni sehemu ya utu mpya na inaeleza jinsi tunavyoweza kudhihirisha sifa hizo maishani na katika huduma.
27 Upendo—Ni Sifa Yenye Thamani