Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w17 Agosti uku. 2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
w17 Agosti uku. 2

Yaliyomo

JUMA LA SEPTEMBA 25, 2017–OKTOBA 1, 2017

3 Je, Uko Tayari Kungoja kwa Subira?

JUMA LA OKTOBA 2-8, 2017

8 ‘Amani ya Mungu Ni Yenye Ubora Unaozidi Fikira Zote’

Makala ya kwanza inaeleza ni kwa nini tunapaswa kuwa tayari kumngojea Yehova. Pia, tutachunguza mfano wa wanaume na wanawake waaminifu wa kale unaoweza kutusaidia kujifunza kungoja kwa subira. Makala ya pili inakazia jinsi Yehova anavyoweza kutimiza mambo ambayo hatungewazia anaweza kufanya, mambo yanayopita matarajio yetu. Hilo litatusaidia kuendelea kumtegemea huku tukingoja kwa subira atende kwa niaba yetu.

13 Simulizi la Maisha—Kuvumilia Majaribu Huleta Baraka

JUMA LA OKTOBA 9-15, 2017

17 Jinsi ya Kuvua Utu wa Zamani na Kutourudia Kamwe

JUMA LA OKTOBA 16-22, 2017

22 Jinsi ya Kuvaa Utu Mpya na Kuudumisha

Makala ya kwanza inaeleza maana ya kuvua utu wa zamani na kwa nini ni muhimu tuuvue bila kukawia. Pia, inazungumzia mambo tunayoweza kufanya ili kuvua utu wa zamani. Makala ya pili inazungumzia sifa kadhaa ambazo ni sehemu ya utu mpya na inaeleza jinsi tunavyoweza kudhihirisha sifa hizo maishani na katika huduma.

27 Upendo​—Ni Sifa Yenye Thamani

30 Hifadhi Yetu ya Vitu vya Kale

32 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki