Yaliyomo
3 Simulizi la Maisha—Kufanya Yale Ambayo Yehova Anataka Huleta Baraka
JUMA LA NOVEMBA 27, 2017–DESEMBA 3, 2017
7 “Tupendane . . . kwa Tendo na Kweli”
Upendo wa kweli huwatambulisha Wakristo wa kweli. Katika makala hii tutachunguza njia tisa tunazoweza kuonyesha upendo “usio na unafiki.”—2 Kor. 6:6.
JUMA LA DESEMBA 4-10, 2017
12 Kweli Huleta, “Si Amani, Bali Upanga”
Watu wa Yehova wanaweza kukabili hali ngumu watu wa ukoo wasio waamini wanapopinga kweli. Katika makala hii, tutajifunza jinsi tunavyoweza kufaulu kushinda changamoto zinazotokezwa na upinzani kutoka kwa watu wa familia.
17 Yosefu wa Arimathea Achukua Msimamo
JUMA LA DESEMBA 11-17, 2017
21 Jinsi Maono ya Zekaria Yanavyokuhusu
JUMA LA DESEMBA 18-24, 2017
26 Unalindwa na Magari ya Kukokotwa na Taji
Makala hizi zinazungumzia maono ya sita, saba, na nane ya Zekaria. Maono ya sita na ya saba yatatusaidia kuthamini pendeleo letu la kumtumikia Mungu katika tengenezo lake lililo safi. Maono ya nane yatatufundisha jinsi Yehova anavyowalinda waabudu wake ili waendelee kushiriki katika ibada ya kweli.
31 Tendo Moja la Fadhili za Kikristo
32 Je, Wajua?