Yaliyomo
JUMA LA JANUARI 29, 2018–FEBRUARI 4, 2018
JUMA LA FEBRUARI 5-11, 2018
Ni matukio gani ya zamani ambayo yaliwapa Wakristo msingi wa kuwa na uhakika kwamba kutakuwa na ufufuo? Matukio hayo na uhakika ambao watumishi wengine waaminifu wa zamani walikuwa nao yanaweza kukusaidiaje uwe na uhakika katika tumaini lako? Makala hizi zitaimarisha imani yako katika ufufuo.
14 Maswali Kutoka kwa Wasomaji
16 Maswali Kutoka kwa Wasomaji
JUMA LA FEBRUARI 12-18, 2018
18 Wazazi—Wasaidieni Watoto Wenu Wawe ‘Wenye Hekima kwa Ajili ya Wokovu’
JUMA LA FEBRUARI 19-25, 2018
23 Vijana—“Endeleeni Kuufanyia Kazi Wokovu Wenu Wenyewe”
Kila mwaka, maelfu ya wanafunzi wa Biblia hubatizwa. Wengi wao ni vijana au watoto wanaokaribia umri wa kubalehe. Ingawa ubatizo hufungua njia ya kupata baraka nyingi, unahusisha pia wajibu mkubwa. Wazazi, mnaweza kuwasaidiaje watoto wenu wafikie lengo la kubatizwa? Vijana mliobatizwa na ninyi mnaofikiria kubatizwa, mnaweza kuimarishaje uhusiano wenu na Yehova?
28 Simulizi la Maisha—Niliacha Vitu Vyote Ili Kumfuata Bwana