Je, Mungu Anakujali?
© 2018 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Picha kwenye jalada inamwonyesha mkimbizi kutoka kwenye eneo lililopatwa na janga la asili
Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea tovuti ya www.jw.org/sw. Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
GAZETI HILI, Mnara wa Mlinzi, linamheshimu Yehova Mungu, ambaye ndiye Mtawala Mkuu wa ulimwengu. Linawafariji watu kwa habari njema kwamba hivi karibuni Ufalme wa Mungu ulio mbinguni, utakomesha uovu wote na kuigeuza dunia kuwa paradiso. Linawatia moyo watu wamwamini Yesu Kristo, ambaye alikufa ili tupate uzima wa milele na ambaye sasa anatawala akiwa Mfalme wa Ufalme wa Mungu. Gazeti hili limekuwa likichapishwa tangu 1879 na si la kisiasa. Linashikamana na Biblia ambayo ndiyo msingi wake.