Yaliyomo
JUMA LA APRILI 2-8, 2018
3 Iga Imani na Utii wa Noa, Danieli, na Ayubu
JUMA LA APRILI 9-15, 2018
8 Je, Unamjua Yehova Kama Noa, Danieli, na Ayubu?
Noa, Danieli, na Ayubu walikabili matatizo mengi yanayofanana na matatizo tunayokabili leo. Ni nini kilichowasaidia kubaki wakiwa waaminifu na watiifu? Ni nini kilichowasaidia kumjua Yehova vizuri sana hivi kwamba hakuna jambo lolote ambalo lingeweza kuvunja utimilifu wao? Makala hizi mbili zitajibu maswali hayo.
13 Simulizi la Maisha—Mambo Yote Yanawezekana kwa Yehova
JUMA LA APRILI 16-22, 2018
18 Inamaanisha Nini Kuwa Mtu wa Kiroho?
JUMA LA APRILI 23-29, 2018
23 Songa Mbele Ukiwa Mtu wa Kiroho!
Katika makala ya kwanza, tutaona hali nzuri ya kiroho ni nini na mambo tunayoweza kujifunza kutokana na mifano bora ya watu wa kiroho. Kisha katika makala ya pili, tutachunguza jinsi tunavyoweza kusitawisha hali nzuri ya kiroho na jinsi tunavyoweza kuwa watu wa kiroho katika maisha yetu ya kila siku.