Yaliyomo
JUMA LA APRILI 30, 2018–MEI 6, 2018
JUMA LA MEI 7-13, 2018
8 Wazazi, Je, Mnawasaidia Watoto Wenu Wafikie Hatua ya Ubatizo?
Tunapaswa kuwa na lengo gani tunapoongoza funzo la Biblia? Kwa nini si vema kuahirisha kubatizwa? Kwa nini baadhi ya wazazi Wakristo wamewatia moyo watoto wao waruhusu muda fulani upite ndipo wabatizwe? Maswali hayo na mengine yatazungumziwa katika makala hizi mbili.
13 Maswali Kutoka kwa Wasomaji
JUMA LA MEI 14-20, 2018
14 Ukaribishaji Wageni—Sifa Inayovutia na Inayohitajika Sana!
Mtume Petro aliwahimiza hivi Wakristo wa karne ya kwanza: “Mkaribishane.” (1 Pet. 4:9) Kwa nini shauri hilo linahitajika sana leo? Tunaweza kufanya mambo gani ili tufuate shauri hilo? Na tunawezaje kuwa wageni wenye adabu? Makala hii itazungumzia maswali hayo.
19 Simulizi la Maisha—Yehova Hajawahi Kamwe Kuniacha!
JUMA LA MEI 21-27, 2018
23 Nidhamu—Uthibitisho wa Upendo wa Mungu
JUMA LA MEI 28, 2018, 2018–JUNI 3, 2018
28 ‘Sikiliza Nidhamu Uwe na Hekima’
Makala hizi mbili zitatusaidia kuthamini zaidi upendo wa Mungu wenye kina kutuelekea kama unavyofunuliwa kupitia nidhamu tunayopokea kutoka kwake akiwa Baba yetu. Hata hivyo, Mungu hututiaje nidhamu? Tunapaswa kuitikiaje nidhamu yake? Na tunaweza kusitawishaje uwezo wa kujitia nidhamu? Makala hizi zitajibu maswali hayo.