Yaliyomo
JUMA LA JUNI 4-10, 2018
3 Jinsi ya Kupata Uhuru wa Kweli
JUMA LA JUNI 11-17, 2018
8 Mtumikie Yehova, Mungu wa Uhuru
Katika sehemu nyingi za ulimwengu watu wanadai uhuru zaidi. Wakristo wanapaswa kuwa na maoni gani kuhusu uhuru? Makala hizi mbili zitatusaidia kujua uhuru wa kweli ni nini, jinsi tunavyoweza kuupata, na jinsi ya kutumia uhuru wa kadiri tulio nao kwa njia itakayotunufaisha sisi na pia wengine. Zaidi ya yote, tutajifunza jinsi ya kumheshimu Yehova, Mungu wa uhuru wa kweli.
13 Wanaume Mliowekwa Rasmi—Jifunzeni Kutoka kwa Timotheo
JUMA LA JUNI 18-24, 2018
15 Mwige Yehova—Mungu Ambaye Hututia Moyo
JUMA LA JUNI 25, 2018–JULAI 1, 2018
20 Endeleeni Kutiana Moyo “na Kufanya Hivyo Zaidi”
Makala hizi zinaonyesha kwamba sikuzote Yehova amekuwa akiwatia moyo watumishi wake na kwamba wao pia wamekuwa wakiiga kielelezo chake kwa miaka mingi. Pia, tutaona kwa nini leo, kuliko wakati mwingine wowote, ni muhimu sana tutiane moyo.
JUMA LA JULAI 2-8, 2018
25 Vijana, Je, Mnatanguliza Malengo ya Kiroho Maishani?
Vijana kutanikoni hunufaika wanapomtanguliza Yehova maishani mwao. Makala hii inaeleza kwa nini ni muhimu kujiwekea malengo ya kiroho mapema maishani na kutanguliza huduma ya shambani.